KLB Visionary Kiswahili – Mwalimu Gredi 6 (Approved)

KShs464.00

In stock

KLB Visionary Kiswahili Gredi ya Sita (Mwongozo wa Mwalimu) kimechapishwa kwa kuzingatia MTaala wa Kiumilisi wa mwaka wa 2021 wa masomo ya shule za msingi Gredi ya Sita kutoka Taasisi ya Ukuzaji Mitaala Nchini Kenya (KICD). Mwongozo huu umechapishwa kwa kusudi la kuendelea kuimarisha uwezo wa mwalimu kuelekeza na kufunza lugha ya Kiswahili kupitia Sarufi na stadi za lugha; Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika.

Compare
Be the first to review “KLB Visionary Kiswahili – Mwalimu Gredi 6 (Approved)”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Reviews

There are no reviews yet.

See It Styled On Instagram

    No access token
Show Buttons
Hide Buttons

Main Menu

1
Scan the code
Thank you for visiting us,

Need any help?