-
Kiswahili kwa darasa la 8
Hili ni toleo la pili la Kiswahili kwa Darasa la Nane. Kitabu hiki. cha wanafunzi ni cha nane katika mfululizo wa vitabu vinane vya lugha ya Kiswahili kwa shule za msingi. Kitabu hiki kimezingatia kwa kina na kwa namna ya kipekee mada zote zilizomo katika silabasi ya Kiswahili ya 2002 kwa Darasa la Nane. Katika toleo hili, masuala nyeti yameshughulikiwa kwa uketo na usasa kama vile utaratibu wa ngeli kwa kuzingatia upatanisho wa viambishi kisarufi. Masuala ibuka kama vile haki za watoto, mazingira, UKIMWI, uadilifu, jinsia, ajira za watoto na afya yameshughulikiwa kwa upana na utaalamu wa kupigiwa mfano. Mifano, michoro ya rangi na picha nyingi zimetumiwa ili kulifanya somo hili liwe la kuvutia zaidi. Mazoezi kemkem yanayozingatia vipengele vyote katika silabasi yamejumuishwa ili kumhusisha mwanafunzi kikamilifu. Kitabu hiki kinawalenga wanafunzi kutoka mazingira na jamii mbalimbali. Vilevile kitabu hiki kina mitihani ya majaribio ili kumwandaa mwanafunzi ipasavyo kwa mtihani wa K.C.P.E.
-
Kiswahili Kwa Darasa la 8 Kitabu Cha Mwalimu by Watuha
by Watuha
Hii ni seti ya vitabu iliyojikita kwenye silabasi mpya ya shule za msingi na kunuiwa kuwasaidia wanafunzi kuongeza ujuzi wao wa lugha ya Kiswahili. Kila kitabu ni zao la utafiti wa kina wa mahitaji ya wanafunzi wa Kiswahili na kinakidhi matakwa yote ya lugha kwa kiwango husika. -
Kiswahili Mufti Darasa la 8 by Wallah
by Wallah
Toleo hili la Kiswahili Mufti 8 linatimiza kikamilifu mahitaji na mada zote za silabasi mpya iliyoanza kutekelezwa shuleni kuanzia 2003. Kitabu hiki kimeandikwa kwa uangalifu mkubwa ili kiweze kueleweka vizuri zaidi na wanafunzi wote kutoka mazingira mbalimbali. Msamiati uliotumika katika vifungu vya ufahamu unaafikiana vyema zaidi na uwezo wa lugha wa wanafunzi katika kiwango hiki. Toleo hili limeshughulikia kikamilifu maswala ibuka kama vile teknolojia ya habari na mawasiliano, katiba, rajua ya 2030, ufisadi na athari zake mbaya, mazingira, haki za watoto, UKIMWI, jinsia na maadili. -
Kiswahili Mufti Kioo cha Mtihani Mwongozo wa Mwalimu by Joseph Mwamburi, Wallah …
by Joseph Mwamburi, Wallah Bin Wallah
Kiswahili Mufti 8: Mwongozo we Mwalimu unampa mwalimu maelezo kamili kuhusiana na mbinu mwafakaza kutayarisha, kuendesha na kutathmini vipindi vya Kiswahili darasani. Mwongozo huu mpana sana unampa mwalimu maelekezo mwafaka yatakayomwezesha kuviandaa na kuviendesha vizuri vipindi vinavyoshughulikia vipengele vifuatavyo:
Mwongozo huu una mifano mwafaka ya maazimio ya kazi na ratilp ya vipindi itakayomwongoza mwalimu kuzingatia mbinu zifaazo za kutekeleza malengo yote ya somo. Pia, una majibu ya maswali yote yaliyomo kwenye kitabu cha wanafunzi. -
Kiswahili Sanifu Darasa la 8 by Bakhressa
by Bakhressa
Kiswahili Sanifu (toleo jipya) ni kozi inayotokana na utafiti wa kina kuhusu mahitaji ya wanafunzi wa shule za msingi katika kujifunza lugha ya Kiswahili. Kozi hii itawawezesha wanafunzi kuinua viwango vyao vya msamiati. Pia itawapa fursa ya kupata na kutumia katika maisha yao maarifa mbalimbali watakayojifunza. Isitoshe, kozi hii itawapa nafasi ya kusoma kwa matengo anuwai na kujieleza kikamilifu wakitumia lugha ya Kiswahili sanifu. -
Kitabu changu cha Kiswahili by Njoroge
by Njoroge
Kitabu hiki kimeandikwa nu mwandishi mwenye tajriba pana ya kufundishc katika Shule za Chekechea nchini Kenya. Muundo wa kitabu hiki utamsaidia mwanafunzi kupata msingi imam wa elimu ya kiwango cha Chekechea. Mwanafunzi anahakikishiwa stadi muhimu zinazohitajika katika kujenga msingi dhabiti masomoni. Kitabu hiki kitamsaidia mwanafunzi: -
KLB Drawing and Design Level 2
This series is suitable for Secondary Schools and Technical, Industrial, Vocational and Entrepreneurial Training (TIVET) courses
-
Kurunzi ya Marejeleo Halahala Kiswahili 8 Toleo jipya …
Kurunzi ya Marejeleo Halahala Kiswahili 8 kimeandaliwa maalum ili kiwasaidie zaidi wanafunzi wa darasa la 8 katika mazoezi na marudio ya silabasi ya darasa la 8 na pia kujitayarisha vyema kwa mtihani wa KCPE. Ni kifaa muhimu kwa walimu wanaohitaji maswali tofauti tofauti yanayoweza kutumika kwa mazoezi ya darasani, mitihani ya mwisho wa muhula na mitihani ya majaribio ya KCPE.
-
Learning IRE Std 8 by Salim M. Abdulrehman
by Salim M. Abdulrehman
Salim M. Abdulrehman is a retired tutor with a bank of experience in the teaching of Islamic Religious Education. He is a member of Kenya Institute of Education (K.I.E.) I.R.E. Panel. He is the author of I.R.E. Primary Course Book Series 1- 8. -
Level Up Maths Levels 1-2 by Keith Pledger
Fun activities appeal to lower attainers * Colourful and ‘clutter-free’ presentation stimulates pupils. * Write-in format helps your pupils to engage with their learning
Shop By Categories
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books