- 
	Longhorn: Smart Sidi and the Playhouse GD3 by Gichuruby Gichuru 
 Smart Sidi and his sister Zawadi find father building a rabbit cage. Sidi is so excited. He loves rabbits but Zawadi does not. She loves playing with her dolls. Smart Sidi has an idea to build a playhouse for Zawadi to play in with her dolls. Does Smart Sidi build the playhouse for Zawadi?
 Longhorn Read and Discover is a new series of readers for the Competence-Based Curriculum (CBC) specially written to promote the tore competences and the PCIs (Pertinent and Contemporary Issues) in a fun, educative and entertaining manner. The readers come with a range of activities that will help learners boost their creativity, imagination and critical thinking.
- 
	Longhorn: Smart Sidi and the Trip to Masembwa … by Ndiranguby Ndirangu 
 Schools are closing. Sidi and his family are going to visit Grandmother for Uncle Dan’s wedding. During the wedding, Zawadi disappears with the rings. Sidi, his mother and Aunt Rita start looking for her everywhere. Do they find Zawadi and the wedding rings?
 Longhorn Read and Discover is a new series of readers for the Competence-Based Curriculum (CBC) specially written to promote the tore competences and the PCIs (Pertinent and Contemporary Issues) in a fun, educative and entertaining manner. The readers come with a range of activities that will help learners boost their creativity, imagination and critical thinking.
- 
	Longhorn: Smart Sidi and the Zoo Visit GD3 by Okeyo,Mwebiby Okeyo, Mwebi 
 It is the beginning of the second term. Mother and Father challenge Smart Sidi to learn the value of saving during the new school term. His reward for doing so is to choose a fun place to visit at the end of the school term. Join Smart Sidi and learn all the things you can save at home and in school.
 Longhorn Read and Discover is a new series of readers for the Competence-Based Curriculum (CBC) specially written to promote the tore competences and the PCIs (Pertinent and Contemporary Issues) in a fun, educative and entertaining manner. The readers come with a range of activities that will help learners boost their creativity, imagination and critical thinking.
- 
	Longhorn: Sudi Atekwa Nyara Grade 3 by Wekesaby Wekesa 
 Baada ya kufanya vizuri katika mtihani, Sudi na Shada wanapelekwa na wazazi wao kwenye mbuga ya wanyama. Wanapofika mbugani, Sudi anatoweka pasi na yeyote kumwona. Wazazi wake na dada yake wanaanza kumtafuta. Je, Sudi anapatikana?
 Hadithi Mufti za Longhorn ni mfululizo mpya wa hadithi ambazo zimeandikwa kulingana na mtaala mpya. Hizi hadithi zinalenga kukuza ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa uvumbuzi wa maarifa na zinaimarisha uelewa wao wa masuala ibuka katika jamii. Hadithi hizi sio tu za kuelimisha na kuburudisha, bali pia zimeambatanishwa na mazoezi ambayo yatawasaidia wanafunzi kuimarika kiubunifu, kimawazo na kifikra.
- 
	Longhorn: Sudi na Shada Sokoni Grade 3 by Nyambekaby Nyambeka 
 Masomo ya ljumaa yanapokamilika katika shule ya msingi ya Mwangaza, mwalimu anawapa Sudi, Shada na wanafunzi wenzao wa gredi ya tatu kazi ya ziada. Mwalimu anawaagiza kuwa wakati wa wikendi waende sokoni ili kufanya kazi hiyo. Je, Sudi na Shada wanapoenda sokoni wanapata yepi huko?
 Hadithi Mufti za Longhorn ni mfululizo mpya wa hadithi ambazo zimeandikwa kulingana na mtaala mpya. Hizi hadithi zinalenga kukuza ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa uvumbuzi wa maarifa na zinaimarisha uelewa wao wa masuala ibuka katika jamii. Hadithi hizi sio tu za kuelimisha na kuburudisha, bali pia zimeambatanishwa na mazoezi ambayo yatawasaidia wanafunzi kuimarika kiubunifu, kimawazo na kifikra.
- 
	Longhorn: Sudi na Shada Wamwokoa Luka GD3by MOMANYI Sudi na Shada Wamwokoa Luka Luka anakosa masomo ya gredi ya pili. Sudi na Shada wanaonesha ujasiri kwa kuhakikisha kuwa wamempata Luke na kumsoidia kurudi shuleni. Je, Luka alikuwa wapi? Ni mambo yepi yalikuwa yanamzuia Luke kusorna no wenzake? Hadithi Mufti za Longhorn ni mfululizo mpya wa hadithi ambazo zimeandikwa kulingana na mtaala mpya. Hizi hadithi zinalenga kukuza ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa uvumbuzi wa maarifa na zinaimarisha uelewawao wa masuala ibuka katika jamii. Hadithi hizi sio tu za kuelimisha na kuburudisha, bali pia zimeambatanishwa na mazoezi ambayo yatawasaidia wanefunzi kuimarika kiubunifu, kimawazo na kifikra. 
- 
	Longhorn: Sudi na Shada Wamwokoa Luka GD3 by Momanyiby Momanyi 
 Sudi na Shada Wamwokoa Luka
 Luka anakosa masomo ya gredi ya pili. Sudi na Shada wanaonesha ujasiri kwa kuhakikisha kuwa wamempata Luke na kumsoidia kurudi shuleni. Je, Luka alikuwa wapi? Ni mambo yepi yalikuwa yanamzuia Luke kusorna no wenzake?
 Hadithi Mufti za Longhorn ni mfululizo mpya wa hadithi ambazo zimeandikwa kulingana na mtaala mpya. Hizi hadithi zinalenga kukuza ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa uvumbuzi wa maarifa na zinaimarisha uelewawao wa masuala ibuka katika jamii. Hadithi hizi sio tu za kuelimisha na kuburudisha, bali pia zimeambatanishwa na mazoezi ambayo yatawasaidia wanefunzi kuimarika kiubunifu, kimawazo na kifikra.
- 
	Longhorn: Sudi na Shada Wasoma Lishe Bora GD2 by Nyambekaby Nyambeka 
 Sudi na Shada wanaelewa umuhimu wa lishe bora. Wakiwa shuleni, wanahakikisha kuwa wamepata lishe bora. Vyakula wanavyopikiwa ni vya lishe bora. Je, wanapikiwa vyakula vipi? Vyakula hivi vina umuhimu upi kwao?
 Hadithi Mufti za Longhorn ni mfululizo mpya wa hadithi ambazo zimeandikwa kulingana na mtaala mpya. Hizi hadithi zinalenga kukuza ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa uvumbuzi wa maarifa na zinaimarisha uelewawao wa masuala ibuka katika jamii. Hadithi hizi sio tu za kuelimisha na kuburudisha, bali pia zimeambatanishwa na mazoezi ambayo yatawasaidia wanefunzi kuimarika kiubunifu, kimawazo na kifikra.
- 
	Longhorn: Sudi na Shada Watuzwa Grade 3 by Nyambekaby Nyambeka 
 Sudi na Shada ni wanafunzi wa gredi ya tatu. Wakati wa sherehe shuleni kwao, wazazi wote wanavutiwa na mienendo yao. Mgeni wa heshima anawatambua na kuwatuza. Je, Sudi na Shada wamefanya nini kiasi cha kutuzwa hivi?
 Hadithi Mufti za Longhorn ni mfululizo mpya wa hadithi ambazo zimeandikwa kulingana na mtaala mpya. Hizi hadithi zinalenga kukuza ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa uvumbuzi wa maarifa na zinaimarisha uelewa wao wa masuala ibuka katika jamii. Hadithi hizi sio tu za kuelimisha na kuburudisha, bali pia zimeambatanishwa na mazoezi ambayo yatawasaidia wanafunzi kuimarika kiubunifu, kimawazo na kifikra.
- 
	Longhorn: Super Sara and the Saturday Activity GD2 by Mwanigaby Mwaniga 
 Super Sara and the Saturday Activities It is Saturday, Super Sara’s favourite day of the week. She has a list of activities to do. Her brother Juma and her friends Tasha and Bobo help her with the activities. What are Super Sara’s Saturday activities? And Does Super Sara finish doing all of them?
 Longhorn Read and Discover is a new series of readers for the Competence-Based Curriculum (CBC) specially written to promote the tore competences and the PCIs (Pertinent and Contemporary Issues) in a fun, educative and entertaining manner. The readers come with a range of activities that will help learners boost their creativity, imagination and critical thinking.
- 
	Longhorn: Ukarimu wa Maria Grade 2 (Kiswahili) by Ken Waliboraby Ken Walibora 
 Wakati wa mapumziko uwanjani, Maria anagundua kuwa rafiki yake Musa hana furaha. Musa amehuzunika na analia. Maria anamtuliza Musa na kuhakikisha kuwa ameanza kutabasamu. Je, Musa alikuwa na matatizo yepi? Maria anamsaidiaje?
 Hadithi Mufti za Longhorn ni mfululizo mpya wa hadithi ambazo zimeandikwa kulingana na mtaala mpya. Hizi hadithi zinalenga kukuza ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa uvumbuzi wa maarifa na zinaimarisha uelewa wao wa masuala ibuka katika jamii. Hadithi hizi sio tu za kuelimisha na kuburudisha, bali pia zimeambatanishwa na mazoezi ambayo yatawasaidia wanafunzi kuimarika kiubunifu, kimawazo na kifikra.
- 
	Longhorn: Usalama wa Sudi na Shada GD2 by Wekesaby Wekesa 
 Sudi na Shada ni wananaujali na kuudumisha usalama wao kila mahal. Wanapokuwa shuleni, Shada anaumia wakicheza uwanjani. Sudi anashirikiana na wenzake kumsaidia Shada. Je, Shada anaumiaje? Sudi na wenzake wanamsaidiaje Shada?
 Hadithi Mufti za Longhorn ni mfululizo mpya wa hadithi ambazo zimeandikwa kulingana na mtaala mpya. Hizi hadithi zinalenga kukuza ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa uvumbuzi wa maarifa na zinaimarisha uelewa wao wa masuala ibuka katika jamii. Hadithi hizi sio tu za kuelimisha na kuburudisha, bali pia zimeambatanishwa na mazoezi ambayo yatawasaidia wanafunzi kuimarika kiubunifu, kimawazo na kifikra.
 Shop By Categories
            - International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
 
			        










