- 
	Longhorn: Sudi na Shada Sokoni Grade 3 by Nyambekaby Nyambeka 
 Masomo ya ljumaa yanapokamilika katika shule ya msingi ya Mwangaza, mwalimu anawapa Sudi, Shada na wanafunzi wenzao wa gredi ya tatu kazi ya ziada. Mwalimu anawaagiza kuwa wakati wa wikendi waende sokoni ili kufanya kazi hiyo. Je, Sudi na Shada wanapoenda sokoni wanapata yepi huko?
 Hadithi Mufti za Longhorn ni mfululizo mpya wa hadithi ambazo zimeandikwa kulingana na mtaala mpya. Hizi hadithi zinalenga kukuza ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa uvumbuzi wa maarifa na zinaimarisha uelewa wao wa masuala ibuka katika jamii. Hadithi hizi sio tu za kuelimisha na kuburudisha, bali pia zimeambatanishwa na mazoezi ambayo yatawasaidia wanafunzi kuimarika kiubunifu, kimawazo na kifikra.
- 
	Music Theory in Practice Grade 3This work contains a detailed list of the requirements for the Grade 3 Theory of Music examination, information that may be needed in the context of the examination, specimen questions and exercises, and guidance on their solutions. It provides a sound foundation for anyone wishing to understand music theory as it is used in practice. A wide variety of music examples are used to illustrate the texts and to provide exercises. 
- 
	Longhorn :Sudi na Shada Wasoma Kazi Mbalimbali Grade … by Ngugiby Ngugi 
 Sudi na Shada ni wanafunzi ambao wanasoma katika gredi ya tatu. Wanasoma kwa bidii ili kufanya kazi mbalimbali. Je, Sudi na Shada wanataka kufanya kazi zipi maishani? Fikra zao kuhusu kazi hizi ni zipi?
 Hadithi Mufti za Longhorn ni mfululizo mpya wa hadithi ambazo zimeandikwa kulingana na mtaala mpya. Hizi hadithi zinalenga kukuza ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa uvumbuzi wa maarifa na zinaimarisha uelewa wao wa masuala ibuka katika jamii. Hadithi hizi sio tu za kuelimisha na kuburudisha, bali pia zimeambatanishwa na mazoezi ambayo yatawasaidia wanafunzi kuimarika kiubunifu, kimawazo na kifikra.
- 
	Phoenix Hatua za Kiswahili Rasmi GD3 (Approved) by “Momanyi,Mutuku”by “Momanyi, Mutuku” 
 Hatua za Kiswahili Rasmi, Kitabu cha mwanafunzi ni mfululizo wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa ufundi kwa kufuata mtalaa mpya unaosisitiza umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunz: kukuza weledi wake katika stadi za kusikiliza na kuzungumza, sarufi na matumizi ya lughakusoma na kuandika. Vitabu hivi vina sifa zifuatazo:– Mada kuu zilizopangwa kwa kuzingatia ruwaza ya mtalaa ya Kiswahili Gredi ya 3 ili kurahisisha utumiaji. 
 – Vipindi vilivyopangwa kushughulikia mada ndogo mbalimbali kulingana na ruwaza ya mtalaa.
 – Picha na michoro iliyochorwa kwa rangi za kupendeza ili kuvutia usomaji na ujifunzaji.
 – Maswali dodoso yanayochochea uwezo wa mwanafunzi kufikiria na kudadisi masuala mbalimbali.
 – Kazi za ziada na majaribio yanayomhusisha mwanafunzi binafsi, wanafunzi wawiliwawili na wanafunzi kwenye makundi katika shughuli ainaaina.
 – Mradi wa nyumbani unaowahusisha wazazi na walezi katika ujifunzaji wa Kiswahili na pia kukuza uwajibikaji.
 – Hadithina utajiri wa shughuli nyingine zinazokuza umilisi wa kimsingi wa lugha ya Kiswahili na zilizooanishwa na masuala mtambuko, maadili chanya miongoni mwa masuala mengine.
 – Matumizi ya teknolojia kwa mfano kusikiliza sauti redioni na unasaji sauti kwa kutumia simu na vifaa vingine vya kiteknolojia.
- 
	OUP Everyday Hygiene & Nutrition Grade 3 WorkbookEveryday Hygiene and Nutrition Activities Workbook is a unique fun-filled series that comprehensively covers the new competency-based curriculum. Each book in the series is well-researched and skillfully written to aid acquisition of the core competencies, skills, values and attitudes. 
- 
	Longhorn: Sudi na Shada Wamwokoa Luka GD3 by Momanyiby Momanyi 
 Sudi na Shada Wamwokoa Luka
 Luka anakosa masomo ya gredi ya pili. Sudi na Shada wanaonesha ujasiri kwa kuhakikisha kuwa wamempata Luke na kumsoidia kurudi shuleni. Je, Luka alikuwa wapi? Ni mambo yepi yalikuwa yanamzuia Luke kusorna no wenzake?
 Hadithi Mufti za Longhorn ni mfululizo mpya wa hadithi ambazo zimeandikwa kulingana na mtaala mpya. Hizi hadithi zinalenga kukuza ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa uvumbuzi wa maarifa na zinaimarisha uelewawao wa masuala ibuka katika jamii. Hadithi hizi sio tu za kuelimisha na kuburudisha, bali pia zimeambatanishwa na mazoezi ambayo yatawasaidia wanefunzi kuimarika kiubunifu, kimawazo na kifikra.
- 
	Cut Their Hair! by Oxfordby Oxford 
 King Lion goes on a journey. Leopard becomes the new king. Leopard does not treat the animals well. Read this story and find out what happens in the end.
- 
	Tops Extension Shughuli za Lugha GD3Tops Extension is developed to help learners acquire the core competencies in the new curriculum. 
 The Workbook is easy to use, has a variety of activities, therefore, making learning enjoyable.
- 
	OUP New Progressive Primary English Activities Teachers Guide … by Oxford University Pressby Oxford University Press 
 Teacher’s Guide – Grade 3 New Progressive Primary English Activities is a series specially written to provide ion of language skills for the new competency-based curriculum. Books in the series provide a range of activities that learners will find exciting and motivating. The activities are aimed at acquisition of the core competences, values, and pertinent and contemporary issues (PCIs). The Teacher’s Guide has a wealth of practical activities for developing competences in learners. It supports teachers by offering the following:- A detailed introduction to the new competency-based curriculum.- A detailed work schedule to help the teacher pace the lessons.- A sample lesson presentation to assist the teacher to plan the lessons.- Helpful hints on class management, groupwork and differentiated learning.- Detailed formative assessment assistance.Together, the Learner’s Book and the Teacher’s Guide provide learners and petency-based curriculum. Oxford, your companion for success!
 Shop By Categories
            - International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
 
			        










