-
Longhorn Kusoma na kuandika Katika Kiswahili Kitabu cha mwanafunzi Gredi 3
by LONGHORN
Kusoma na kuandika katika Kiswahili, Gredi ya 3 ni kimoja miongoni mwa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa kuzingatia mtaala mpya unaokuza ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa utendaji na uvumbuzi
wa maarifa.Kitabu hiki kinawawezesha wanafunzi kupata maarifa ya kimsingi, stadi zifaazo za kusoma na kuandika, mienendo mema na maadili ya kimaisha pamoja na utumizi kamili wa maarifa wanayoyapata darasani.
Shughuli na mazoezi katika kitabu hiki zimejikita kwenye uzoefu wa wanafunzi wa kila siku pamoja na masuala na ibuka kama yalivyofafanuliwa kwenye mtaala mpya. Kitabu hiki kimeandikwa kwa lugha rahisi na inayoibua tafakari ili kukuza ujuzi wa mwanafunzi na kuimarisha stadi za kimaisha za kutatua matatizo ya wanafunzi katika jamii. -
Longhorn Environmental Activities Learner’s Book Grade 3
by John Gikaru, Eric Owino, Chris Mutua
Longhorn Environmental Activities for Grade 3 is an approved course book that captures the expectations of the new competency-based curriculum developed by the Kenya Institute of Curriculum Development (KICD). It has the following unique features that support the teaching and learning process:
Numerous learner-centred activities that promote the acquisition of knowledge.
Carefully selected illustrations and photographs that support concepts to be learnt.
A beautiful design that is easy to read and follow, with a predictable pattern that enhances learning.
Practical learning points that develop skills that learners need at this level.
Strictly adheres to the syllabus which gives it a sharp focus on all the competencies meant to be developed.
Promotes environmental conservation and sustainability by suggesting safer ways of carrying out various activities.
-
Longhorn CRE Activities Learner’s Book Grade 3
by LONGHORN
Longhorn CRE Activities Grade 3 Learner’s Book, is the third competence-based book to be developed. This book categorically follows the New Competence-based Curriculum.
This book actively engages the learner in class, in school, at home, at church, and elsewhere in society. The learner freely and easily interacts with the book.
This book comprehensively covers all the strands and sub-strands highlighted in the Grade 3 syllabus. It also has some unique features such as:
• Individual, pair, and group learning activities in all strands.
• Songs, poems and Bible quotes that enable the learner to easily understand the sub-strands being taught.
• Pertinent and contemporary issues in an interactive and learner-friendly manner.
• Full-colour illustrations, photographs, and an attractive design to make the book appealing.
• Summary notes to various concepts in the different strands. Summarised content at the end of each strand, titled What I have learned’ and What I will do!
Accompanying this Activity Book is a comprehensive Teacher’s Guide with competency-based Teaching Guidelines and assessment techniques. -
by NGUGI
Sudi na Shada ni wanafunzi ambao wanasoma katika gredi ya tatu. Wanasoma kwa bidii ili kufanya kazi mbalimbali. Je, Sudi na Shada wanataka kufanya kazi zipi maishani? Fikra zao kuhusu kazi hizi ni zipi?
Hadithi Mufti za Longhorn ni mfululizo mpya wa hadithi ambazo zimeandikwa kulingana na mtaala mpya. Hizi hadithi zinalenga kukuza ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa uvumbuzi wa maarifa na zinaimarisha uelewa wao wa masuala ibuka katika jamii. Hadithi hizi sio tu za kuelimisha na kuburudisha, bali pia zimeambatanishwa na mazoezi ambayo yatawasaidia wanafunzi kuimarika kiubunifu, kimawazo na kifikra.
-
Made Familiar: Lela saves her Village Level 3
by SABAKAKI
Lela and Adili live in a village surrounded by forests and wild animals. They enjoy watching the butterflies and birds until a rich man visits the village. He wants to turn part of the village and forest into private property. Everyone is in despair, but Lela and Adili decide to fight for their cause. With the help of their teacher, the children create persuasive messages on the need to protect the forest which they hope will reach the Governor and the President. Just how far can they go?
-
Ajali ya Keki 3A
by STORYMOJA
Mpango wa Leshan, Aida na marafiki zaounatumbukia nyongo baada ya qjali ya keki. Je, wa kulaumiwa ni nani?Wataendelea na mpango wao au watautupilia mbali? Unafikiri mbuzi kisirani anayeleta hasara anafaa kufanyiwa nini? Soma hadithi hizi ufahamu jinsi Aida na nduguye Leshan pamoja na marafiki zao wanavyokabiliana na changamoto mbalimbali huku wakijifunza umuhimu wa_ kushirikiana, kuheshimiana na kudumisha upendo katika jamii.
Ajali ya Keki na Hadithi Nyingine ni mkusanyiko wa hadithi za kusisimua zinazolenga kukuza maadili ya upendo, umoja na heshima miongoni mwa wasomaji.
-
Made Familiar: Grandma is Sick Level 3
by SHARON
Musembei and Anna visit their grandmother in the village. They find her sick. She complains of constant stomach pain. Their uncle also
complains of stomach pain. Their home is clean. They also maintain high level of personal hygiene. What could be the cause of the
constant stomach pains? Musembei and Anna want to find out. -
MTP CRE Teacher’s Grade 6 (Approved)
Demonstrate an awareness of God as the sole Creator by protecting, preserving and conserving the environment.
-Recognize the Bible and apply its teachings for responsible living.
-Apply the teachings of Jesus Christ in his/her interactions with others to form harmonious relationships.
-Practice Christian values in order to make informed moral decisions and choices relevant to social-economic, technological, environmental and political issues.
-Analyse the role of the Church in contributing towards positive transformation of the society.
-Apply moral teachings in the use of digital devices and social media platforms for wellbeing of self and others.
-Appreciate God’s revelation to human kind so as to respond in faith by fostering peaceful co-existence and good relationships
Shop By Categories
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books
- International Curriculum
- Marketplace – Used Books!
- National Curriculum
- TVET/Higher Learning
- Lab Equipment
- General Books











